Friday, March 14, 2014
RAIS DKT.JAKAYA KIKWETE AWAAPISHAKATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO.
Do you like this story?
![]() |
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw, Yahya Khamis Hamad akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. |
![]() |
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Yahya Khamis Hamad akisaini Kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. |
![]() |
Naibu Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Thomas Kashilila akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “RAIS DKT.JAKAYA KIKWETE AWAAPISHAKATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO.”
Post a Comment