Wednesday, August 27, 2014

BARAZA LA TAIFA LA HIFADHI YA USIMAMIZI WA MAZINGIRA YAKAGUA MIRADI MBALIMBALI KATIKA MKOA WA MBEYA


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw Abbas Kandoro akifungua mkutano wa wadau wa Mazingira pamoja na waandishi wa Habari

Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira( NEMC) Bw Bonaventure Baya akitoa ufafanuzi kuhusu mazingira jijini Mbeya




Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw Abbas Kandoro akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi mkuu wa NEMC Bw Bonaventure Baya aliyevaa suti nyeusi pamoja na wakuu wa Wilaya

0 Responses to “BARAZA LA TAIFA LA HIFADHI YA USIMAMIZI WA MAZINGIRA YAKAGUA MIRADI MBALIMBALI KATIKA MKOA WA MBEYA”

Post a Comment

More to Read