Thursday, October 15, 2015
BOBAN ATUA MBEYA CITY, AANZA KAZI YA KUIMALIZA SIMBA, LEO NI MAZOEZI SIKU YA PILI
Do you like this story?
HARUNA MOSHI 'BOBAN' AKIWA NA JUMA KASEJA AMBAYE WAMEUNGANA NAYE KWA MARA NYINGINE WAKIWA KATIKA KIKOSI CHA MBEYA CITY. WAWILI HAO WAMEWAHI KUKIPIGA PAMOJA WAKIWA SIMBA... |
Boban ameanza kazi na Mbeya City na atakuwa kati ya wachezaji
watakaocheza dhidi ya Simba, Jumamosi.
Leo Boban amefanya mazoezi siku ya pili mfululizo kwa ajili ya mechi hiyo.
Leo Boban amefanya mazoezi siku ya pili mfululizo kwa ajili ya mechi hiyo.
Taarifa za uhakika
zimeeleza Boban alikuwa amejiunga na Mbeya City mwanzoni mwa msimu huu.
Lakini kulikuwa na mambo
kadhaa aliyotakiwa kumalizana na uongozi wa timu kabla ya kujiunga nayo.
Taarifa
nyingine zimeeleza Boban alisafiri kwenda kufanya majaribio nje ya nchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BOBAN ATUA MBEYA CITY, AANZA KAZI YA KUIMALIZA SIMBA, LEO NI MAZOEZI SIKU YA PILI”
Post a Comment