Sunday, May 17, 2015

HIKI NDICHO KIKOSI BORA CHA VPL 2014/2015 KILICHOPENDEKEZWA NA JOSEPH KANAKAMFUMU




BAADA ya kuona vikosi bora vya ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015 uliomalizika mei 9 mwaka huu kutoka kwa makocha Hans van der Pluijm (Yanga), Jamhuri Kiwhelo (Coastal Union), Juma Mwambusi (Mbeya City) na Mecky Mexime (Mtibwa Sugar), jana tuliahidi kuleta kikosi bora cha kocha Joseph Kanakamfumu na hiki ndicho kikosi chake bora alichopendekeza:
1.       Ally Mustafa (Yanga)
2.       Juma Abdul (Yanga)
3.       Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ (Simba)
4.       Salim Mbonde (Mtibwa Sugar)
5.       Kelvin Yondani (Yanga)
6.       Michael Balou (Azam fc)
7.       Said Ndemla (Simba)
8.       Salum Telela (Yanga)
9.       Simon Msuva (Yanga)
10.   Rashid Mandawa (Kagera Sugar)
11.   Deus Kaseke (Mbeya City)
Kanakamfumu amesema katika kikosi chake hajawaweka wachezaji kwa kigeni kwasababu utafiti wake uliangalia zaidi wachezaji wazawa, lakini kwa upande wa kocha bora  msimu wa 2014/2015 amemtaja kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm.

0 Responses to “HIKI NDICHO KIKOSI BORA CHA VPL 2014/2015 KILICHOPENDEKEZWA NA JOSEPH KANAKAMFUMU”

Post a Comment

More to Read