Monday, February 24, 2014
Do you like this story?
GHARAMA BUNGE LA KATIBA KUATHIRI BAJETI YA SERIKALI
Bajeti ya miradi ya maendeleo iliyopangwa kutekelezwa katika mwaka wa fedha wa 2013/2014 ,huenda isikamilike kutokana na bajeti ya Bunge la katiba kuwa kubwa.
Hayo yalisemwa na waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi , Dk Titus Kamani,alipokuwa akizungumza na watumishi wa wakala wa utafiti wa mifugo,wakala wa vyuo vya mifugo na wakala wa maabara mkoani Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ ”
Post a Comment