Sunday, February 23, 2014
Do you like this story?
ROONEY,VAN PERSIE WAITETEA MAN U
.Mholanzi Robin van Persie alifunga bao la kwanza dakika ya 62 kwa penalti, kufuatia Chamakh kumchezea rafu Patrice Evra kwenye eneo la hatari.
Dakika sita baadaye, Muingereza Rooney akawainua vitini mashabiki wa United kwa bao safi la pili baada ya kupokea pasi ya Evra.
Ushindi huo, unaifanya United itimize pointi 45 baada ya kucheza mechi 27 na inarejea nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ ”
Post a Comment