Thursday, April 10, 2014

KAMATI MBALIMBALI ZAWASILISHA MAONI YAO UCHAMBUZI WA SURA YA KWANZA NA YA SITA YA KATIBA MPYA


Mwenyekiti wa Kamati namba mbili (2) Shamsi Vuai Nahodha akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo leo mjini Dodoma wakati wa uwasilishaji wa Sura ya Kwanza na Sita wa rasimu ya Katiba mpya.

Makamu  Mwenyekiti wa Kamati namba tano Assumpter Mshama akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba January Makamba (kushoto) na Dkt. Asha Rose Migiro (kulia) wakijadiliana jambo leo mjini Dodoma wakati wa uwasilishaji wa sura ya kwanza na sita wa rasimu ya Katiba mpya unaofanywa na Kamati mbalimbali.

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Pandu Ameir Kificho (kushoto) na Balozi Seif Ali Idd(kulia) wakijadiliana jambo leo mjini Dodoma wakati wa uwasilishaji wa sura ya kwanza na sita wa rasimu ya Katiba mpya unaofanywa na Kamati mbalimbali.

Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakifuatilia uwasilishaji wa maoni ya wanakamati mbalimbali upande wa Sura ya kwanza na sita wa rasimu ya Katiba mpya leo mjini Dodoma.


0 Responses to “KAMATI MBALIMBALI ZAWASILISHA MAONI YAO UCHAMBUZI WA SURA YA KWANZA NA YA SITA YA KATIBA MPYA”

Post a Comment

More to Read