Thursday, April 10, 2014
KAMATI MBALIMBALI ZAWASILISHA MAONI YAO UCHAMBUZI WA SURA YA KWANZA NA YA SITA YA KATIBA MPYA
Do you like this story?
Mwenyekiti wa Kamati namba mbili (2) Shamsi Vuai Nahodha akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya. |
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo leo mjini Dodoma wakati wa uwasilishaji wa Sura ya Kwanza na Sita wa rasimu ya Katiba mpya. |
Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba tano Assumpter Mshama akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya. |
Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakifuatilia uwasilishaji wa maoni ya wanakamati mbalimbali upande wa Sura ya kwanza na sita wa rasimu ya Katiba mpya leo mjini Dodoma. |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “KAMATI MBALIMBALI ZAWASILISHA MAONI YAO UCHAMBUZI WA SURA YA KWANZA NA YA SITA YA KATIBA MPYA”
Post a Comment