Sunday, April 13, 2014
MAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA YA KUKAGUA ATHARI ZA MAFURIKO DAR NA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MPIJI.
Do you like this story?
![]() |
Nguzo za umeme zikiwa zimeinama baada ya kuzidiwa nguvu na maji hayo yaliyobomoa daraja. |
![]() |
Malori yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo. |
![]() |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wanaosimamia shughuli ya daraja hilo, baada ya kuwasili eneo hilo leo. |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MAKAMU WA RAIS AFANYA ZIARA YA KUKAGUA ATHARI ZA MAFURIKO DAR NA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MPIJI.”
Post a Comment