Thursday, April 17, 2014
TAYARI VIJANA 16 WA TIMU YA MABORESHO WAPATIKANA TFF YAWAWEKA HADHARANI MBEYA.
Do you like this story?
JOPO la Makocha
wa Timu ya Maboresho waliweka kambi Mjini Tukuyu Rungwe Mbeya limetangaza
majina ya wachezaji 16 waliopataikana katika mchakato wa maboresho ya timu mpya
ya taifa ya Tanzania.
Vijana hao 16 ni kati ya 33 waliopatika
katika mchakato wa kutafuta vijana wenye vipaji kwa lengo la kupata timu mpya
ya Taifa mchakato ambao ulihusisha mikoa yote ya Bara na Visiwani ambapo kambi
hiyo ilianza kuanzia Machi 22 mwaka huu .
Akizungumza na
Waandishi wa Habari jijini Hapa Kocha Msaidizi wa Kikosi hicho ca
Maboresho Ndugu Salum Mayanga amesema teyari hatua ya awali ya kuwapata vijana
16 imekwisha fanyika wakati wakiwa kambini hapo Mjini Tukuyu Mbeya.
Amewataja
wachezaji waliochaguliwa katika mchakato huo kwa upande wa walinda mlango kuwa
ni Benedicto Tinoko Mlekwa (Mara).
Kwa upande wa mabeki wa pembeni
waliochaguliwa katika mchakato huo ambao upo chini ya udhamini wa Kilimanjaro
Premium Lager ni Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba), Omari Kindamba
(Temeke) na Shiraz Abdallah (Ilala).
Mabeki wa kati
ni Yussuf Suleiman Mlipili (Temeke)Abbas na Said Juma Ali (Mjini
Magharibi)huku Viungo wakiwa ni
Abubakar Mohamed Ally (Kusini Unguja), Hashim Ramadhan Magoma (Shinyanga).
Abubakar Mohamed Ally (Kusini Unguja), Hashim Ramadhan Magoma (Shinyanga).
Huku viungo wa
pembeni ni Ommar Athuman Nyenje (Mtwara) na Chunga Said Zito (Manyara)
Washambuliaji
ni Abrahman Othman Ally (Mjini Magharibi), Paul Michael Bundara ,(Ilala)
Ayubu Hashim Lipati (Ilala), Mohamed Seif Said (Kusini Pemba),
Hata hivyo
amesema wachezaji wengine waliungana na wale 16 ni Mbwana Mshindo Musa
(Tanga)na Bayage Atanas Fabian (Mbeya)kutoka timu ya vijana wenye umri (160)
Amesema
Wachezaji hao 16 wataungana na wale wa Taifa Stars watakaoingia kambini Aprili
22 mwaka huu.
Taifa Stars inatarajiwa kucheza mechi ya kirafiki mapema mwezi Mei mwaka huu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi za mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika (AFCON) zitakazofanyika mwakani nchini Morocco.
Taifa Stars inatarajiwa kucheza mechi ya kirafiki mapema mwezi Mei mwaka huu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi za mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika (AFCON) zitakazofanyika mwakani nchini Morocco.
Pamoja na
kutaja kikosi hicho pia amesema kuwa katika wale vijana walienguliwa katika
kikosi hicho Tayari TFF imewaka utaratibu mzuri namna ya kuwatumia kwa hapo
baadaye na pale watakapo hitajika.
Timu hiyo
itakuwa chini ya Madadi akisaidiwa na makocha Hafidh Badru, Salum Mayanga na
Patrick Mwangata. Aprili 13 mwaka huu utafanyika mchujo ili kupata wachezaji wa
mwisho watakaoungana na wale wa Taifa Stars watakaoingia kambini Aprili 22
mwaka huu.
Taifa Stars inatarajiwa kucheza mechi ya kirafiki mapema mwezi Mei mwaka huu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi za mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika (AFCON) zitakazofanyika mwakani nchini Morocco.
Taifa Stars inatarajiwa kucheza mechi ya kirafiki mapema mwezi Mei mwaka huu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi za mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika (AFCON) zitakazofanyika mwakani nchini Morocco.
MWISHO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAYARI VIJANA 16 WA TIMU YA MABORESHO WAPATIKANA TFF YAWAWEKA HADHARANI MBEYA.”
Post a Comment