Wednesday, May 14, 2014
PLUIJM AWAPA RAHA YANGA.
Do you like this story?
KOCHA mkuu wa yanga hans van der pluijm anatarajia
kuagwa kesho katika sherehe zitakazofanyika jijini dare s salaam tayari amenza
utekelezaji wa ahadi yake na kuipatia timu hiyo wachezaji baada ya kupata
wachezaji wawili nchin Ghana.
Pluijm aliyeingia yanga msimu uliopita na kuiwezesha
kumaliza ligu kuu kwa nafasi ya pili tayari mkataba wake wa miezi sita umekwisha na amekwenda
katika timu inyoshiriki ligi kuu nchini
Saudi Arabia ya al schoolah FC
ambapo tayari aalisaini mkataba wa mwaka
mmoja.
Wiki iliyopita pluijm alisema kabla ya kwenda
kuwatumikia waarabu hao ataifanyia kazi
taarifa ya benchi la ufundi kwa kufitafutia yanga wachezaji wakali
watakaosaidia timu hiyo kufanya vizuri msimu ujao.
Baada ya kusaini mkataba wake nchini Saudi Arabia kocha huyo raid wa
uholanzi amerejea dare s saalam mwishonimwa wiki , na uongozi umethibitisha
hilo na kueleza kuwa anatarajiwa kuangwa kesho katika sherehe fupi
zitazofanyika kwenye makao makuu ya
yanga. Jangwani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “PLUIJM AWAPA RAHA YANGA.”
Post a Comment