Wednesday, May 14, 2014
MATOKEO CHANJO YA UKIMWI LEO.
Do you like this story?
MATOKEO ya utafiti wa chanjo ya ugonjwa wa ukimwi na magonjwa yasiyoambukiza nchini yatatolewa katika kongamano la kisayansi linaloanza leo jijini dare s salaam.
Kongamano hilo la siku mbili lenye kaulimbiu ya utafiti
wa afya , mafunzo na ubunifu kwa
maendeleo endelevu limeandliwa na chuo
kikuu cha afya na sanyansi shirikishi muhimbili(muhas).
Kaimu mkuu wa chuo hicyo profesa eligius lyamuya
lisema juzi dare s salam kwamba utafiti
huo utatolewa mbele ya wanasayansi washiriki 350 toka nchi tisa duniani ambao watatumia jongamano hili
kubadilishana ujuzi na uzoefu katika
ufanyaji utafiti.
Mada zaidi 138 zinatarajiwa kuwasilishwa katika kongamano hilo ambapo
kati ya hizo mada 122
zitawasilishwa kwa njia yam domo
ikiwamo ya utafiti wa chanjo ya ukimwi pamoja na magonjwa yasiyoambukiza.
Majaribio yaliyopita
Mwaka jana kiongozi wa jopo hilo la wataalamu wa mhas wanaofanya utafuti huo profesa
Muhammad bakari alitoa ufafanuzi kuhusu majaribio ya chanjo hiyo akisema bado
walikuwa wakiendelea kuifanyia utafiti zaidi.
Profesa bakari alikaririwa akisema majaribio ya chanjo
hiyo yalifanyika nchini mwaka 2007 mpaka
2010 na 2008 mpaka 2012 yalionyesha
mafanikio mazuri ingawa hayakufikia hatua ya kupatkana kwa chanjo kamili.
Kwa mujibu wa profesa bakari majaribia hayo yalithibitisha kuwa chanjo YA
DNA-MVA ilikuw salama na yenye uwezo wa
kuufanya mwili utengeneze kinga dhidi ya virusi vya ukimwi (VVU)
Pamoja na matokeo hayo ya kutia moyo baada ya kuanza
kufanya utafiti jopo la madaktari bado liliendela na utafiti zaidi kuanza 2008
hadi 2012 ili kupata chanjo.
Hatukuishai hapo utafiti wa pili (TAMOVAC-01) ulifanyika kati ya 2008
na 2012 utafit huu ulijumuisha pia nchi jirani ya msumbiji alisema .
Alisema utafit wa awali ambao ulijulikana HIVIS-03
ulihusisha aksari 60 ambao walifuatiliwa kwa karibu wakti wote wa utafiti ili kuhakiki usalama wa chanjo na uwezo wa
chanjo kutengeneza vichocheo vya kinga dhidi ya
VVU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MATOKEO CHANJO YA UKIMWI LEO.”
Post a Comment