Wednesday, May 14, 2014
LISSU AFANANISHWA NA SANTURI MBOVU.
Do you like this story?
Mbunge wa viti maalumu , maida hamed abdallah (CCM)
amemfananishwa msemaji wa kambi ya
upinzani kuhusu bajeti ya ofisi ya makamu wa rais (muungano) tundu lissu
(chadema) kuwa ni santuri mbovu.
Lakini wakati mbunge huyo na wengine wakimponda lissu
alikuwa kicheka a kufikia hata kufuta machozi ya kicheko, akionekana
kuashiria kutotilia maanani vijembe
hivyo hata pale mbunge wengine walipokuwa wakimponda yeye ama kambi ya upinzani kwa jumla.
Mbunge abdallah
alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya ofisi ya makamu wa rais kwa mwaka wa fedha 2014/2015 .
Amesema kuwa wakati akito amaoni ya kambi ya upinzani
alikuwa santuri mbovu kwa kurudia yale
ambayo aliyasema wakti wa bunge
maalumu la katiba.
Hivyo ndivyo
maanda ya santuri mbovu aliyokuwa akisema
leo asubuhi ni kama yale aliiyoyasema wakati wa bunge la katiba alisema.
Amesema kuwa alikuwa anamsikiliza balozi wa
Zanzibar alivyokuwa nautetea
muungano kwa kuupinga na
kuukandamiza na kwamba yeye ni mpinga
muungano.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “LISSU AFANANISHWA NA SANTURI MBOVU.”
Post a Comment