Monday, June 9, 2014
TAZAMA PICHA ZA HALI YA MGOMO WA DALADALA ILIVYOKUWA LEO JIJINI MBEYA.
Do you like this story?
Mwandishi wa Habari Wa Mbeya Fm Radio Bw Stanslaus Lambat akifanya mahojiano na mmoja wa Madereva wa Daladala |
Huu Ndio usafiri Mkubwa leo jiji Mbeya |
Polisi wa Usalama Barabarani Bw Magacha akijaribu kutoa ufafanuzi juu ya usafiri |
Abiria wakiwa katika harakati za kupanda |
Baadhi ya Madereva na makonda wa Daladala wakiwa wanasubiri hatima ya mgomo mzima |
Huu ndio usafiri leo katika jiji la Mbeya baada ya mgomo wa daladala kutaka kupandisha Nauli toka 400 hadi mia 500 |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAZAMA PICHA ZA HALI YA MGOMO WA DALADALA ILIVYOKUWA LEO JIJINI MBEYA.”
Post a Comment