Friday, June 6, 2014
WANANDINGA UHOLANZI TABASAMU TUPU...WAKWEA PIPA KUELEKEA BRAZIL
Do you like this story?
![]() |
| Dirk Kuyt (kushoto) akimuaga mke na mtoto wake. |
![]() |
| Mlinda mlango wa Swansea, Michel Vorm aliungana na kikosi cha Uholanzi kwenda Brazil |
![]() |
| Mtu muhimu: Mashabiki wa Uholanzi wanamtegemea zaidi Robin van Persie (katikati). |
![]() |
| Kila la kheri: Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal akiwapungia mkono mashabiki kabla ya kukwea pipa kuelekea Brazil. |
walionekana wenye tabasamu kubwa
wakati wakijiandaa kupaa angani na ndege licha ya kuagana na wapenzi wao jana
alhamisi.
Nyota hao wa Uholanzi walipozi
katika picha na wake na watoto zao kwenye hoteli ya timu hiyo kabla ya kwenda
uwanja wa ndege wa Schipol airport tayari kwa kuanza safari ya kwenda
Brazil.
Wesley Sneijder na Dirk Kuyt
walionekana kuwa karibu zaidi na familia zao huku wakifurahi kwa dakika za
mwisho mwisho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)





0 Responses to “WANANDINGA UHOLANZI TABASAMU TUPU...WAKWEA PIPA KUELEKEA BRAZIL”
Post a Comment