Saturday, September 20, 2014
MBEYA CITY FC YAKAZIWA NA WAGENI JKT RUVU KATIKA UWANJA WA SOKOINE MBEYA.
Do you like this story?
![]() |
Kipa wa Jkt Ruvu akitolewa nje na wachezaji wa Timu yake mara baada ya kugongana na Mchezaji mwenzake wakati wakijaribu kuokoa gori. |
![]() |
Kipa akitolewa nje na Daktari wa timu mara baada ya kuumia jicho na kushindwa kuendelea na mchezo huo |
Wagonga nyundo wa Mbeya, Mbeya City
kama ilivyokuwa msimu uliopita, wameanza ligi kwa kutoa suluhu pacha ya bila
kufungana (0-0) katika dimba lao la Sokoine jijini Mbeya dhidi ya JKT Ruvu.
Afisa habari wa Mbeya City, Dismas Ten
amesema mechi ilikuwa ngumu kwa timu zote na matokeo hayo ni ya kawaida katika
mpira, lakini benchi la ufundi litakaa chini kufanya marekebisho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MBEYA CITY FC YAKAZIWA NA WAGENI JKT RUVU KATIKA UWANJA WA SOKOINE MBEYA.”
Post a Comment