Thursday, December 18, 2014
WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM.
Do you like this story?
Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu
adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la
Boko Haram.
Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi,
kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha
miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti.
Mwanasheria wa wanajeshi hao amesema wamehukumiwa
vifo kwa kupigwa risasi na kikosi maalum huku wanajeshi wengine watano
wakiachia.
Vikosi vya Kijeshi vya Nigeria vimedai kuzidiwa
silaha na Boko Haram, kwa kuwa hawapatiwi silaha za kutosha kupambana na
wanamgambo hao.
Boko Haram…
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “WANAJESHI 54 WA NIGERIA WAHUKUMIWA VIFO KWA KUSHINDWA KUPAMBANA NA BOKO HARAM.”
Post a Comment