Friday, February 13, 2015
BUNGE LA AFRIKA KUSINI VURUNGU ZATANDA.
Do you like this story?
Bunge la
Afrika kusini liligeuka kuwa uwanja wa vita ambapo wabunge wa upinzani ilifikia
hatua ya kuvutana mashati na maafisa wa usalama na kufanya wabunge wa upinzani
wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) wakiongozwa na Julias Malema
kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na baadae wabunge wengine wa upanzani
nao wakatoka nje ya ukumbi.
Sakata hilo lilizuka wakati Rais wa nchi hio Jacob
Zuma alipokuwa akilihutubia taifa na kuulizwa maswali na wabunge wa chama cha
EFF kinachoongozwa na Julius Malema wakitaka kujua ni lini atarejesha pesa
zilizojengea jumba lake la kifahari la Nkandla.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BUNGE LA AFRIKA KUSINI VURUNGU ZATANDA.”
Post a Comment