Monday, February 16, 2015
WATU 40 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MBAYA MBEYA.
Do you like this story?
Wananchi wakijaribu kumsaidia Dereva aliyebanwa na hiace iliyopata ajali asubuhi ya leo maeneo ya mama john. |
(Picha na Fahari news)) |
Kiasi cha watu arobaini
wamenusurika kifo katika ajali ya barabarabi mkoani mbeya asubuhi ya leo baada
ya magari mawili ya abiria (daladala) kugongana maeneo ya Mama John.
Magari yaliyohusika
katika ajali hiyo ni yenye namba za usajili T 348 AKH lililokuwa likitokea
Uyole na gari lenye namba za usajili T 804 CKF lililokuwa likitotea Kabwe
ambapo hakuna abiria yeyote aliyedhurika na ajali hiyo isipokuwa dereva wa gari
namba T 348 AKH ambaye hakufahamika jina mara moja ndiye aliyejeruhiwa vibaya
mguu wake wa kulia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “WATU 40 WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI MBAYA MBEYA.”
Post a Comment