Friday, September 25, 2015
WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA
Do you like this story?
Taarifa
zilizotufikia muda huu kwenye chumba chetu cha habari ni kwamba Waziri
wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
Mh.Celina Kombani amefariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa
matibabu
Taarifa hizo
zimesema Waziri Kombani ambaye pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la Ulanga
Mashariki kupitia chama cha Mapinduzi, mwili wake utawasili nchini Jumamosi ya
Septemba 26 mwaka huu
Marehemu Kombani alikuwa akiugua maleria kali
Mtandao huu
unatoa pole kwa familia ya marehemu na taifa kwa ujumla kwa msiba huu
uliowapata
Taarifa zaidi
za msiba huo zitakujia hapa hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “ WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA”
Post a Comment