Friday, October 16, 2015
DEO FILIKUNJOMBE, CAPT. WILLIAM SLAA WAFARIKI DUNIA
Do you like this story?
Alichokisema Jerry Slaa kupitia akaunti yake
ya Instagram
"Baba yangu Capt.William Silaa akiwa na
Mhe.Deo Filikunjombe na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya
helicopter 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa. Taarifa za mwisho
ilionekana imeanguka kwenye msitu wa Selous. Hakuna mawasiliano ya simu. Usiku
kucha vyombo vyote vya serikali vimeendelea na jitihada za kufika eneo la tukio
na jitihada kubwa zaidi zinaendelea asubuhi hii.
Nawaomba wote kuwa watulivu kwani jambo hili linahitaji umakini wa hali ya juu na ushirikiano wa taasisi nyingi za wizara tofauti.
Tuwaombee wote Mungu awanusuru.
JS"
Nawaomba wote kuwa watulivu kwani jambo hili linahitaji umakini wa hali ya juu na ushirikiano wa taasisi nyingi za wizara tofauti.
Tuwaombee wote Mungu awanusuru.
JS"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “DEO FILIKUNJOMBE, CAPT. WILLIAM SLAA WAFARIKI DUNIA”
Post a Comment