Thursday, October 22, 2015
HABARI MOTOMOTO HABARI PICHA SIMBA SAKATA LA NGONGOTI MSENEGALI WA SIMBA 'KUVULIWA HIRIZI' JANA SOKOINE SAKATA LA NGONGOTI MSENEGALI WA SIMBA 'KUVULIWA HIRIZI' JANA SOKOINE
Do you like this story?
Mwishowe refa alimuamuru N'daw arudi kwenye chumba cha kuvalia akakaguliwe(Picha na David Nyembe wa Fahari News) |
N'daw 'akimtisha' mchezaji wa Prisons aliyemshupalia amevaa hirizi(Picha na David Nyembe wa Fahari News) |
N'daw akiingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo ili kukaguliwa wakati ambao mchezo ulisimama kwa dakika nne kipindi cha kwanza |
Mchezaji wa Prisons aliyedai N'daw ana hirizi akionywa kwa kadi ya njano kabla ya mchezo kuendelea(Picha na David Nyembe wa Fahari News) |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ HABARI MOTOMOTO HABARI PICHA SIMBA SAKATA LA NGONGOTI MSENEGALI WA SIMBA 'KUVULIWA HIRIZI' JANA SOKOINE SAKATA LA NGONGOTI MSENEGALI WA SIMBA 'KUVULIWA HIRIZI' JANA SOKOINE”
Post a Comment