Saturday, May 20, 2017
Aliyesambaza Uongo kuhusu Vyeti Feki vya Polisi Asakwa Usiku na mchana
Do you like this story?

Hayo
yamebainishwa na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, ACP
Advera Bulimba na kusema wanaendelea kumtafuta mtu aliyesambaza taarifa
hiyo kwa lengo la kupotosha umma ili hatua kali za kisheria zichukuliwe
dhidi yake na kuwa fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.
"Jeshi
la Polisi nchini, linaujulisha umma kwamba, orodha ya majina ambayo
yamekuwa yakisambazwa kwenye mitandao ya kijamii yakidai kuwa ni majina
ya askari wa jeshi la polisi wenye vyeti feki ni ya uongo na wala
taarifa hiyo haijatolewa na jeshi la polisi". Ilisema taarifa hiyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)