fahari News
Habari | Michezo | Bishara | Zabuni
Home
BIASHARA
KITAIFA
KIMATAIFA
USA
AFRIKA
AFRIKA MASHARIKI
MICHEZO
MUZIKI
SIASA
Recommended:
Perfect Social Media Marketing Stratergy For Your Business
Like
Wednesday, November 26, 2014
AJALI YA MOTO ILIYOCHOMA MALORI 60 NA KUJERUHI VIBAYA
Tweet
Share
Do you like this story?
Magari makubwa yakiwaka moto baada ya moto huo kuzuka maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo.
Picha tofauti juu zikionesha baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo ya moto.
AJALI mbaya ya moto imetokea jana majira ya saa kumina moja jioni maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo baada ya lorimoja kulipuka kwa moto na kuchoma malori mengine yaliyokuwa jirani yake.Inadaiwa magari mengi yameungua yakiwemo kutoka Tanzania japo idadi kamili yamaafa yaliyotokana na ajali hiyo bado hayajafahamika.
0 Responses to “AJALI YA MOTO ILIYOCHOMA MALORI 60 NA KUJERUHI VIBAYA”
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tweets by @FahariNews
More to Read
Buzz
Twitter
Facebook
RSS
Email
Must Read
Popular Posts
MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA JESHI LA POLISI.
Jeshi la Polisi Tanzania linawaita kwenye usaili vijana waliomaliza kidato cha nne mwaka 2013 na kidato cha sita mwaka 2014 ambao w...
BIASHARA YA KADI ZA KLINIKI KWA WAJAWAZITO YASHAMIRI,ZAUZWA SH 3,000
WAKATI Sera ya Afya nchini ya mwaka 2007, chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, inaeleza wazi kwamba kina mama wa...
TAIFA STARS YA BAADAYE KWENDA MBEYA KESHO.
KIKOSI cha timu ya Taifa ya Vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U-15) kesho ijumaa kinatarajia kusafiri kuelekea jijini Mbeya k...
POLISI WATEMBEZA KICHAPO KWA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR.
MUENDELEZO wa Jeshi la Polisi nchini kuwanyanyasa, kuwatisha waandishi wa habari na kuwafanya wasitekeleze wajibu wao ipasavyo, ilij...
hBIG BROTHER HOTSHOTS: SHEILLAH, TREZAGAH, ELLAH & GOITSE FALL AT THE FINAL HURDLE VOTING OPEN IMMEDIATELY TO DECIDE WHO WILL WIN
Sheillah, Trezagah, Ellah & Goitse fell just one week short of a shot at the USD 300 000 prize on Big Brother Hotshots as they w...
0 Responses to “AJALI YA MOTO ILIYOCHOMA MALORI 60 NA KUJERUHI VIBAYA”
Post a Comment