Sunday, December 8, 2013
Do you like this story?
MSIBA MWINGINE KWA MANCHESTER UNITED
Munchester United imepokea kichapo cha goli 1 – 0 katika uwanja wao wa nyumbani dhidi ya Newcastle United ikiwani siku chache baada ya kufungwa na Everton goli 1 – 0. Yohane Cabaye ameifungia timu yake goli hilo katika dakika ya 61 ya kipindi cha pili. Goli hilo ni limevunja rekodi ya Newcastle United kutoifunga Manchester ikiwa kwao tangu mwaka 1972
Rio Ferdinand amamtupia lawama kocha wake David Moyes kwa uendeshaji wake wa timu hauko kama wa Sir Alex Ferguson kipinfi anawafundisha.
Kwa sasa Man U inashikiria nafasi ya 9 ikwa na pointi 22 tofauti ya pointi 12 na Arsenal ambao wanaongoza ligi hiyo Newcastle wako nafasi ya 6 wakiwa na na pointi 26.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “ ”
Post a Comment