Sunday, December 8, 2013
Do you like this story?
KILIMANJARO STARS YAIONDOSHA UGANDA KATIKA KOMBE LA CECAFA
Timu ya Taifa ya Tanzania Kilimanjaro Stars imetinga nusu fainali baada ya kuifunga Uganda kwa mikwaju ya Penati. Mahamuzi ya kwenda kwenye matuta baada ya timu hzo mbili kuonyeshana nguvu katika dakika 90 za mchezo ambapo zilitoka sale ya mabao 2 – 2. Mrisho Ngassa alifungia mkilimanjaro stars magoli hayo uko Uganda ikifungiwa na Dan Sserenkuma pamoka na Martin Mpuga.
Dakika 30 ziliongezwa lakini hakuna tim iliyoweka bao langoni mwa goli la mwenzake. Emmanuel Okwi, Gor Mhia na Khalid waliipa tiketi Kilimanjaro star ya kwenda Nusu fainali huku stars ikikosa penati kwa mchezaji wao Kiiza Khamisi.
Matokeo hayo yameiwezesha stars kuingia katika Nusu fainali ya CECAFA akisubiri mshindi wa mechi zinzofatia kujua atacheza na nani? Katika kuwania nafasi ya kushiriki Nusu fainali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “ ”
Post a Comment