Sunday, December 8, 2013
Do you like this story?
TANZANIA USO KWA USO NA UGANDA
Timu ya Taifa ya Tanzania Kilimanjaro stars leo inashuka Dimbani kupapambana na Uganda kwenye robo fainali ya kombe la CECAFA mjini Mombasa Nairobi. Kilimanjaro stars inaingia dimbani kwa kupata nguvu nyingine ya kuongezeka kwa washambuliaji wao machachali Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu.
Kilimanjaro stars imefuzu nafasi hyo baada ya kuifunga Timu ya Taifa ya Somalia bao moja bila ambapo timu ya Somalia ilionesha upinzani wa hali juu na kutoa matarajio ya watu wengi kuwa wao ni timu ya kubeza.
Timu nyingine zitakazo cheza robo fainali ya CECAFA ni KENYA vs RWANDA itakayochezwa leo baada ya mechi ya UGANDA vs KILIMANJARO STARS kufatiwa na mechi za kesho tarehe 8 Disemba 2013 kati ya ZAMBIA vs BURUNDI na baadae ETHIOPIA vs SUDAN.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)

.jpeg)
0 Responses to “ ”
Post a Comment