Friday, June 13, 2014
MTOTO WA KIKE WA MWANAMUZIKI R.KELLY ABADILI JINSIA
Do you like this story?
Mtoto wa kike wa mfalme wa R&B
Robert Kelly aka R.Kelly mwenye miaka 14 amejitokeza hadharani na kujitangaza
kuwa amebadilisha jinsia na kuwa mvulana.
Mtoto huyo aitwaye Jaya amejitangaza
habari hiyo kwa dunia kupitia mitandao ya jikamii.
Jaya aliyezaliwa na jinsia ya kike
amesema hivi sasa ni mvulana na jina lake jipya ni Jay.
Jay amesema kuwa pamoja na mama yake
mzazi aitwaye Andrea Kelly kumsupport kwa uamuzi aliouchukua, baba yake R.Kelly
bado bado hajasema ch ochote.
My mom was like, ‘Baby, you know I love
you if you were bi, gay, lesbian, you name it and I would still love you so
much’,” aliandika Jay katika profile yake ya Ask.fm. “I believe I am a boy and
want surgery, and the medication to help me (be) who I was supposed to be.”
Jay amesema alijigundua kuanza kuvutiwa
na wasichana akiwa na miaka 6, lakini ameongeza kuwa bado hahitaji kuwa na
uhusiano wa kimapenzi kwa sasa.
Source:
Mirror
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MTOTO WA KIKE WA MWANAMUZIKI R.KELLY ABADILI JINSIA ”
Post a Comment