Thursday, June 5, 2014
STAMICO YATWAA MGODI WA KIWIRA.
Do you like this story?
Hatimaye mgodi wa makaa ya kiwira uliopo
wilayani ileje umerudishwa rasmi
serikalini kutoka Tan Power
Resources(TPR) na kukabidhiwa kwa
shirika la madini la taifa (stamico) kwa
ajili ya kufufua na kuendeleza mdodi huo.
Akizungumza wkati wa kukabidhi mdogi huo kwa stamico makamu mwenyekiti wa stamico
Alexander muganda alisema
kurudishwa serikalini kwa mgodi huo kunatokana
na serikali na TPR kufikia
muafaka kwa serikali kuuchukua
mgodi kwa asilimia 100
Muganda alisema uendeshaji wa mgodi chini ya stamico umegawanyika katika sehemu
nne sehemu yakwanza ni upanuzi wa
mgodi chiniya aridhi ujenzi wa mgodi wa wazi katka eneo la ivogo ujenzi wa
mitambo ya kufumua umeme pamoja na
ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme.
Uendeshaji wa magodi huu pia utahusisha ujenzi wa
mtambo wa kufua umeme wenye uwezo kufua
megawati 200 za umeme na ujenzi
wa njia ya kilometa 100 kwa ajili
ya kusafirisha.
Umeme wa kv 22 alisema
na kuongeza kuwa stamico imepanga kufanyia ukarabati mashine ya kufua
umeme megawati sita.
Aidha alisema ukarabati huo unatarajia kugharimu sh
bilioni 18.6 na kwamba utahusisha sehemu
za uzalishaji wa makaa mawe
uzalishaji umeme mtambo wa kusafishia karakana sampuli na maabara
mtaji unaohitjika kueneleza mgodi huu
ili kuzalisha megawati 200 ni takribani
dola za marekani milioni 400 alisema
muganda.
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa stamico Edwin ngonyani
alitaka menejiment ya mgodi wa kiwira kubadilika kwa kuachan ana ukuu na
kuw watendaji ili waendesh emgodi huo kwa mafanikio na kufikia matarajio ya
watanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “STAMICO YATWAA MGODI WA KIWIRA.”
Post a Comment