Thursday, June 5, 2014
MBUNGE ATAKA WABAKAJI WAPEWE ADHABU YA KIFO
Do you like this story?
Mbunge wa chama cha CUF moza abeid saidy ameiomba serikali kuweka adhabu ya kifo
kwa wabakaji ili liwe fundisho kwa wtu wenye tabia kama hizo.
Alisema hayo katika
swli lake la nyongeza bungeni jijini hapa jana baada ya kutoridhika na majibu aliyopewa
kwenye swali lake la msingi.
Kwanini serikali isitoe fundisho kw watu wengine wenye tabia hizo pia serikali
haina mpango wa kuongeza adhabu kwa
wabakaji kwani adhabu ya sasa ya kifungo cha maika 30 jela inatosha.
Alisisitiza kuwa
anakubaliana na mbunge huyo kuwa ubakaji unaendela kukua kwa kasi lakini
adhabu za sasa zinatosha kutoa fundisho
kwa wahusika liwahimiza wote wenye tabia
hiyo chafu waache mara moja.
Katika swali lake la msingi moza aliuliza je ni
kwasababu gani hukumu ya makosa ya ubakaji hutolewa tofauti ambapo wengine huhukumiwa kifungo cha maisha wakti wengine hufungwa kifungo cha miaka
15-50?
Akijibu swali hilo la msingi kairuki alisema kubaka ni kosa la jinai ambalo linatendeka katika mazingira
yaliyoelezwa chini ya kifungu cha 130(1)
na (2) cha sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16.
Naibu waziri
alisema adhabu ya kosa la kubaka limetamkwa wazi na sheria za kanuni za adhabu chini ya kifungu cha 131 adhabu ya kosa hili chini ya sheria hii ni kifunhgo cha miaka 30 au kifungo cha maisha pamoja na kuchapwa
viboko na kulipa faini.
Aliems pamoja na dhabu inayotolewa chini ya kfiungu cha 131(1) kifungu cha 131(3) kinabainisha kwamba endapo
muathirika wa ubakaji ni mtoto mweye umri wa chini ya miaka 10 adhabu ya mbakaji atakapopatikana na hatia ni
kifungo cha maisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)

0 Responses to “MBUNGE ATAKA WABAKAJI WAPEWE ADHABU YA KIFO”
Post a Comment