Thursday, June 5, 2014
KAMWAGA AKIMBIA OFISI ZA SIMBA.
Do you like this story?
Dar es salaam fukuto la uchaguzi linaloendelea ndani
ya klabu ya simba limemfanya katibu mkuu
wa klabu hiyo Ezekiel kamwaga
kuiona ofisi yake chungu kama
shubiri.
Kamwaga hajaingia ofisini kwa muda wa wiki moja sasa .
jumatano iliyopita kamwaga lijikuta katika wakati mgumu baada ya kuziiwa na
kundi la wanachama wa simba la Taliban kuingia ofisinikwake kile walichodai
kuwa wakati wa kutangazwa kwa jina la Michael wmbura kuwa lemeenguliwa kwenye
mchakato wa uchaguzi wa kuwania urais wa
simba katbu huyo alicheka.
Ilikuwa kama sinema
wanachama walipimzuia kuingia kupitia
getini kamwaga akazunguka kwa
mlango wa nyumba ambako kuna mgahawa wa wasomali akataka kuruka ukuta ili
aingie ofisini lakini likwama baada ya
wanachama hao kumtoa mbio na kwenda kujisalimisha kituo cha polisi msimbazi.
Kimsingi hakuna
kitu kibaya nilichofanya nawashangaa wanachama kunizuia kuingia ofisini tukio lile limenidhalilisha sana
naapa sitakanyaga tena ofisini alisema kamwaga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “KAMWAGA AKIMBIA OFISI ZA SIMBA.”
Post a Comment