Monday, July 14, 2014
MEYA WA ILALA AWAAHIDI WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NEEMA
Do you like this story?
Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa
ametembelea kwenye soko la Kariakoo kuongea na wafanyabiashara mbalimbali,
kufuatia malalamiko ya kuhamishwa katika soko la wazi na kusababisha
wafanyabiashara hao kutangatanga.
Akizungumza na wafanyabiashara hao Meya
Silaa alisema kuwa amesikia tatizo la wafanyabiashara hao na anakwenda kuongea
na viongozi wa Manispaa hiyo ili kuweza kuandaa utaratibu wa kuwarudisha katika
eneo hilo au kuwapeleka sehemu nyingine.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MEYA WA ILALA AWAAHIDI WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NEEMA ”
Post a Comment