Tuesday, February 10, 2015
TAARIFA: JENGO LA MTAA WA JAMHURI NA MOSQUE JIJINI DAR LAWAKA MOTO.
Do you like this story?
Baadhi ya Polisi kutoka Jeshi la Polisi na Kikosi cha Zimamoto vikiwasili eneo la tukio mtaa Jamuhuri na moski. |
Moto Mkubwa
umezuka mapema leo kwenye moja ya nyumba pichani iliopo mtaa wa
Jamuhuri na Mosque jijini Dar es salaam na kuteketeza mali kadhaa.
Kikosi Kazi cha Globu ya Jamii kipo eneo la tukio kwa sasa kikiendelea
kukusanya kila kinachojiri,lakini kwa taarifa kutoka kwa mashuhuda
waliopo eneo la tukio wanaeleza kuwa chanzo cha
moto huo bado hakijafahamika rasmi,Jeshi la Polisi limefika eneo la
tukio kuhakikisha amani na utulivu vinakuwepo huku magari ya zimamoto
nayo yakiendelea kuwasili kupambana na moto huo..
moto huo bado hakijafahamika rasmi,Jeshi la Polisi limefika eneo la
tukio kuhakikisha amani na utulivu vinakuwepo huku magari ya zimamoto
nayo yakiendelea kuwasili kupambana na moto huo..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAARIFA: JENGO LA MTAA WA JAMHURI NA MOSQUE JIJINI DAR LAWAKA MOTO. ”
Post a Comment