Wednesday, September 23, 2015
JIJI LA DAR ES SALAAM LASHIKILIA NAFASI YA SITA MIONGONI MWA MAJIJI YALIYOATHIRIKA NA VIRUSI VYA UKIMWI BARANI AFRIKA
Do you like this story?
Jiji la Dar es Salaam,
lashikilia nafasi ya sita miongoni mwa majiji yaliyoathirika na Virusi Vya
Ukimwi barani Afrika.
Takwimu hizo zopo
kwenye ripoti iliyofanywa na shirika la kimataifa la wahamiaji (IOM) uliofanywa
kwenye Bandari ya Dar es Salaam na kuangalia namna jamii za watu wa maeneo ya
bandari walivyo na uwezekano wa kupata maambukizi mapya ya ugonjwa huo kutokana
na mwingiliano wa mataifa mbalimbali.
Viti dhidi ya ugonjwa
huo vinaendelea na jamii ya kimataifa inaamini mpaka mwaka 2030 utakuwa
historia ingawa kuna kazi kubwa inahitajika kufanywa ili kufikia lengo hilo la
kuukabili Ukimwi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)


0 Responses to “JIJI LA DAR ES SALAAM LASHIKILIA NAFASI YA SITA MIONGONI MWA MAJIJI YALIYOATHIRIKA NA VIRUSI VYA UKIMWI BARANI AFRIKA”
Post a Comment