Wednesday, September 23, 2015
PICHA WACHAWI WALIOKUWA WAKISAFIRI KWA UNGO WAANGUKA MKOANI NJOMBE
Do you like this story?
![]() |
| Watu Wanaodaiwa Kuanguaka Kwa Imani za Kishirikina Wilayani Wanging'ombe Hao Hapo |
- Picha na
Gabriel Kilamlya, Njombe
Watu Watatu Ambao Hawajajulikana Majina
Yao Jinsi ya Kiume Wamekutwa Wameanguka Katika Kijiji Cha Utiga Wilayani
Wanging'ombe Mkoani Njombe Kwa Imani za Kishirikina.
Watu Hao Ambao
Hawajafahamika Mara Moja Wanakotoka Wanadaiwa Kuwa Walikuwa Safarini Kuelekea
Songea Mkoani Ruvuma Lakini Walipofika Katika Kijiji Hicho Ndipo Walipoanguka.
Picha na Gabriel Kilamlya, Njombe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)




0 Responses to “ PICHA WACHAWI WALIOKUWA WAKISAFIRI KWA UNGO WAANGUKA MKOANI NJOMBE”
Post a Comment