Tuesday, October 27, 2015
Matokeo ya Ubunge :MWAMOTO NDIO MBUNGE KILOLO
Do you like this story?
Wananchi wa Lulanzi wakimpongeza Venance Mwamoto katikati baada ya kushinda Ubunge jimbo la Kilolo |
Matokeo
ya Ubunge kilolo Venance Mwamoto ( ccm ) ashinda kwa kura 45225 sawa na
asilimia 57.16 , Bryson Kikoti ( Chadema ) 32926 sawa na asilimia
41.61,mwaka Mgimwa ( chausta ) 236 asilimia 0.30,Omary Mtuga ( ACT)739 sawa na
asilimia 0.93 Jumla ya wapiga kura 110,458 walijiandikisha waliopiga 79128
asilimia 100.00
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Matokeo ya Ubunge :MWAMOTO NDIO MBUNGE KILOLO ”
Post a Comment