Tuesday, October 27, 2015
MATOKEO YA UCHAGUZI WA JIMBO LA MAKETE 2015
Do you like this story?
Mshindi wa Ubunge jimbo la
Makete kupitia CCM Prof Norman Sigalla akipokea cheti cha kuonesha kuwa ndiye
aliyeibuka kidedea katika uchaguzi huo kutoka kwa msimamizi wa Uchaguzi Bw
Francis Namaumbo
|
Prof Norman Sigalla akipiga
makofi baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha Ubunge jimbo la Makete kupitia
CCM
|
Mbunge mteule wa jimbo la Makete kupitia CCM Prof Norman Sigalla akizungumza baada ya kutangazwa kuwa ni mshindi |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MATOKEO YA UCHAGUZI WA JIMBO LA MAKETE 2015”
Post a Comment