Tuesday, October 13, 2015
TASWIRA NNE ZA MWAMBUSI ALIVYOANZA KAZI YANGA CHINI YA PLUIJM
Do you like this story?
Aliyekuwa kocha mkuu wa
Mbeya City, Juma Mwambusi ameanza kazi Yanga akiwa ni kocha msaidizi.
Mwambusi ameanza kazi
kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam, jana chini ya Mholanzi,
Hans van der Pluijm.
Kocha huyo mzelendo,
amechukua nafasi ya mzalendo mwenzake, Charles Boniface Mkwasa ambaye
ameajiriwa kuwa Kocha Mkuu wa Taifa Stars.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TASWIRA NNE ZA MWAMBUSI ALIVYOANZA KAZI YANGA CHINI YA PLUIJM”
Post a Comment