Tuesday, March 15, 2016
NAPE NNAUYE: MAAFISA HABARI WA SERIKALI MUSIWAKIMBIE WAANDISHI.
Do you like this story?
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Mhe Nape Nnauye akifungua kikao chao cha kazi cha mwaka cha Maafisa habari na mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA, Morogoro . |
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Mhe Nape Nnauye akifungua kikao chao cha kazi cha mwaka cha Maafisa habari na mawasiliano serikalini katika ukumbi wa VETA, Morogoro . |
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na
michezo Mhe Nape Nnauye amewataka maafisa wa habari wa Serikali kuacha tabia ya
kuogopa na kuwakimbia waandishi wa Habari na baadala yake wawe tayari
kuwasilikiliza ilikuwa na mahusiano mazuri.
Mh. Nape amesema hayo, wakati wa
ufunguzi wa kikao cha Maafisa habari na mawasiliano serikalini katika
ukumbi wa VETA, Morogoro.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ NAPE NNAUYE: MAAFISA HABARI WA SERIKALI MUSIWAKIMBIE WAANDISHI.”
Post a Comment