Thursday, April 7, 2016
KAMPUNI YA PEPSI YATOA MSAADA WA GYPSUM BOARD 200 KWA SHULE YA SEKONDARI IYUNGA.
Do you like this story?
| Gari ikiwa imebeba Msaada kutoka Pespi Gypsum Board 200. |
| Afisa Rasilimali watu Pepsi Bw Edwin Arbogast akiongea na waandishi wa Habari hawapo Pichani.(Picha na David Nyembe wa Fahari News) |
| Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Iyunga Bw Edward Mwantimwa akitoa Shukrani kwa Kampuni ya Pepsi kwa Msaada waliotoa..(Picha na David Nyembe wa Fahari News) |
| Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Mh Nyilembe Munasa akitoa shukrani kwa Uongozi Mzima wa Kampuni ya Pepsi kwa Msaada wa Gypsum Board 200.(Picha na David Nyembe wa Fahari News) |
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.gif)

0 Responses to “KAMPUNI YA PEPSI YATOA MSAADA WA GYPSUM BOARD 200 KWA SHULE YA SEKONDARI IYUNGA.”
Post a Comment