Saturday, April 22, 2017

Mtoto mdogo ahofiwa kufariki baada ya kuzama mto Ngerengere


Mtoto wa darasa la kwanza Mkoani Pwani aliyetambulika kwa jina la Karim Salum anahofiwa kufariki Dunia baada ya kuzama wakati alipokuwa akiogelea kwenye maji ya Mto Ngerengerea.
Wananchi wameendelea na jitihada za utafutaji wa mwili wa mtoto huyo ambao mpaka sasa bado haujapatikana.

0 Responses to “Mtoto mdogo ahofiwa kufariki baada ya kuzama mto Ngerengere ”

Post a Comment

More to Read