Thursday, March 20, 2014
MARUFUKU WASIOAPA KUSHIRIKI BUNGE LA KATIBA.
Do you like this story?
Wajumbe wa Bunge la katiba
ambao hawajaapa hawawezi kuhudhuria vikao vya kamati za chombo hicho mpaka
watakapofanya hivyo.
Mwenyekiti wa sekretarieti ya maandalizi ya bunge hilo john
joel aliliambia gazeti hili kuwa wajumbe
hao hawatahudhuria vikao hivyo hadi watakapoapa.
Kauli hiyo ya joel imekuja
huku kukiwa na taarifa za wjaumbe kadhaa wa bunge maalumu la kativa ambao hawajaapa
wakiwamo baadhi ua wabunge wa
chadema waliokwenda mkoani iringa
kushiriki uchaguzi mdogo wa ubunge.
Sijui wataapishwa lini
lakini kama hawajapishwa hawawezi
kuingia kwatika vikao vya kamati alisema
joel.
Kazi ya kaapisha
ilikamilika huku baadhi ya wabunge wakiwa hawajaapa . baadhi ya wajumbe
waliapa juzi kabla ya mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba jaji joseph Warioba kuwasilisha rasimu ya pili ya katiba.
Alizungumzia kuhusu baadhi
ya wajumbe kuongeza maneno ama kupunguza katika viapo vyuao joel alisema kuwa
viapo hivyo siyo batili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MARUFUKU WASIOAPA KUSHIRIKI BUNGE LA KATIBA.”
Post a Comment