Thursday, May 15, 2014
SHEIKH ISSA PONDA ARUDISHWA RUMANDE.
Do you like this story?
Kiongozi wa taasisi ya kiisalmu Tanzania sheikh ponda
issa ponda ameendelea kusota rumande baada ya kesi yake kuahirishwa kwa mara nyingine kwa kuwa jalada la kesi yake halijarudi kutoka mahakama kuu
ya kanda ya dare s salaam lilikotishwa kwa ajali ya mapitio.
Kesi hiyo ilifungwuliwa katika mahakama ya hakumu
mkazi mfawidhi mkoa wa mrogoro mwaka
jana iko mbele ya hakimu mfawidhi wa
Mahakam hiyo mary moyo na imekuwa
ikitajwa kwa zaidi ya miezi sita, huku sheikh ponda akiendelea kusota rumande
baada ya kunyimwa dhamana.
Sheikh ponda anakabiliwa na mashtaka matatu ambayo ni
kutotii amri halali iliyotolewa na mahakama ya ksutu ya kutokutoa maneno yenye
kuharibu imani za dini na kushawishi
watu kutenda kosa ambayo anadaiwa kuyatenda agosti 10, 2013 jioni katika
eneo la kiwanja cha ndege morogoro.
Upande wa mashtaka uliwasilisha ombi mahakamani hapo
kutaka sheikh ponda kuhojiwa na polisi kuhusiana na mashtaka yanayomkabili
hakimu moyo alikubali ombi hilo na kumtaka ponda kuwa na imani na mahaka hiyo
akisema itatenda haki kwa mujibu wa sheria na si vingine
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “SHEIKH ISSA PONDA ARUDISHWA RUMANDE.”
Post a Comment