Tuesday, July 8, 2014
TAZAMA PICHA ZA UFUNGUZI WA TAWI JIPYA LA MBEYA CITY MTAA WA ISANGA JIJINI MBEYA
Do you like this story?
![]() |
Mwenyekiti wa Timu ya Mbeya City Bw Musa Mapunda akitoa Hotuba yake kwenye ufunguzi wa Tawi jipya la Mbeya City Mtaa wa Isanga Jijini Mbeya |
![]() |
Mheshimiwa Diwani wa kata ya Isanga Duru Mohamed ambae pia ni mlezi wa Tawi la Isanga |
![]() |
Mwenyekiti wa Mbeya City Bw Musa Mapunda(aliyevaa sweta)akiwa na Mwenyekiti wa Tawi jipya la Isanga Emanuel Mwaipaja wakionyesha furaha ya Tawi jipya |
![]() |
Washabiki wa Tawi Jipya la isanga wakionyesha ishara za ushindi zaidi |
![]() |
Wanachama wa Tawi la Mbeya City Mtaa wa Isanga |
Picha na Fahari News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAZAMA PICHA ZA UFUNGUZI WA TAWI JIPYA LA MBEYA CITY MTAA WA ISANGA JIJINI MBEYA”
Post a Comment