Sunday, December 8, 2013




FULHAM YATOKA KIFUA MBELE
Fulham chini ya kocha wao mpya Rene Meulenstee imeifunga Aston Villa goli 2 - 0. Mabao hayo yalifungwa na Steve Sidwell katika dakika ya 21 ya kipindi cha kwanza na lengine lilifungwa na Dimitar Berbatov kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 30 ya kipindi cha kwanza.

0 Responses to “ ”

Post a Comment

More to Read