Friday, February 28, 2014

BASI LA BUNDA EXPRESS LA GONGA TRENI NA KUUWA WATU NNE MANYONI,SINGIDA



BASI LA BUNDA EXPRESS


Kulingana na habari za awali tulizo nazo bus hilo la Bunda limefumaniwa kwenye kivuko cha treni na kugonga.

 Mpaka sasa ni watu 4 wamethibitika kufa na tunaendelea kufuatilia habari zaidi juu ya tukio hilo ikiwemo sababu ya msingi ya kusababisha ajali hiyo.

0 Responses to “BASI LA BUNDA EXPRESS LA GONGA TRENI NA KUUWA WATU NNE MANYONI,SINGIDA”

Post a Comment

More to Read