Saturday, March 1, 2014
BARABARA YA KIMARA - KIVUKONI YA MABASI YAENDAYO KASI KUMALIZIKA NDANI YA MIEZI 6 KUANZIA SASA
Do you like this story?
Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Dar es Salaam Bus Rapid Transit – BRT) ambao umeelezewa kuwa na changamoto nyingi kiasi cha kusababisha usumbufu kwa watumia barabara hiyo kwa kipindi kirefu.
Akimpatia taarifa ya
utekelezaji wa mradi huo Mtendaji Mkuu wa Tanroads Mhandisi Patrick...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BARABARA YA KIMARA - KIVUKONI YA MABASI YAENDAYO KASI KUMALIZIKA NDANI YA MIEZI 6 KUANZIA SASA”
Post a Comment