Saturday, March 1, 2014
MCHELE MBOVU ULIOINGIZWA ZANZIBAR KURUDISHWA ULIKOTOKA
Do you like this story?
MMILIKI WA MCHELE BW MOHAMED MAULY AKIANGALIA MCHELE HUO |
Mmiliki
wa Mchele uliothibitishwa kuwa mbovu na kutofaa kwa chakula na Bodi ya vyakula,
dawa na vipodozi Zanzibar Bwana. Mohamed Mauly akizungumza na waandishi wa
habari katika zoezi la kurejeshwa kwao Mchele huo wenye wingi wa tani 26 sawa
na kg 2,600 katika Godauni lake kwerekwe Zanzibar.
Mchele mbovu
uliothibitishwa na Bodi ya vyakula, dawa na vipodozi Zanzibar ukiwa kwenye
Godauni Mwana kwerekwe ukisubiri kurejeshwa Pakistan ulipo nunuliwa.
Wachukuzi wakipakia Mchele kwenye gari kwaajili ya kusafirishwa
kurejeshwa ulipotoka.
. Mmiliki wa
Mchele Bwana. Mohamed Mauly akionyesha Mchele mbovu ulithibitishwa na Bodi ya
vyakula, dawa na vipodozi Zanzibar na mwenyewe kuridhika na majibu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MCHELE MBOVU ULIOINGIZWA ZANZIBAR KURUDISHWA ULIKOTOKA”
Post a Comment