Monday, March 3, 2014

WANANCHI WAMPIGA HADI KUMUUA KINYAMA MTUHUMIWA WA WIZI WILAYANI MAKETE


Mtuhumiwa wa wizi baada ya kupewa kichapo na wananchi, hapa ni kabla hajauawa.  Kipigo kikiendelea. Wananchi wakiwa wamemzunguka mtuhumiwa huyo wa wizi huku akiendelea kupigwa.
 Wananchi wenye hasira katika kata ya Tandala wilayani Makete mkoa wa Njombe wameamua kujichukulia sheria mkononi, kwa kumpiga hadi kumuua kinyama mtuhumiwa wa wizi ambaye walimkamata kwa madai kuwa ni mwizi wa mifugo Tukio hilo limetokea jana majira ya saa 11 jioni ambapo kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ambao walikataa kutaja majina yao wala kupigwa picha, wamesema mtuhumiwa huyo amekamatwa katika kijiji cha Idege, ambapo kwa madai yao walimkamata na vithibitisho ambavyo ni kamba.

0 Responses to “WANANCHI WAMPIGA HADI KUMUUA KINYAMA MTUHUMIWA WA WIZI WILAYANI MAKETE”

Post a Comment

More to Read