Wednesday, April 2, 2014
BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI LAVUNJIKA.
Do you like this story?
Bunge la afrika mashariki
(Eala) likenza kuonekana kufanana na
bunge la katiba linaloendelea mjini
Dodoma.
Bunge hilo jana
limevunjika bila kujulikana litakutana tena lini baada ya kuibuka
mabishano ya kisheria kuhusu hoja ya kutokuwa na imani na spika Margret zziwa.
Hoja ya kumg’oa spika zziwa ilianza kuzungumzwa kwenye vyombo vya habari bya afrika mashriki kwa
wiki kadhaa sasa na hatimaye kuwasilishwa
jana na mbunge peter mathuki kutoka kenye kwa niaba ya wenzake shy rose bhanji wa Tanzania, nyiranilimo Odette wa Rwanda na hafsa mossi kutoka Burundi.
Awali bunge hilo linapaswa
kuanza vikao vyake saa 8:00 mchana
lilichelewa kaunza hadi saa 9:44 alasiri
baada ya wabunge wa kigoma kuingia ukumbini walipobani kuwa hoja ya kumng’oa spika haikuwa miongoni kwa shughuli za bunge kwenye
kikao cha jana.
Hata hivyo dakika moja
tangu mathuki alipanza kusoma maelezo ya hoja hiyo mbunge fred mukassa
mbidde aliinuka na kuomba mwongozo wa
spika na alipopewa nafasi alipinga
hoja hiyo kuwasilishwa na kujadiliwaa na kujadiliwa kwa madai kuwa
kuna kesi katika mahakama ya afrika mashariki (EACJ) inayohusiana na
hoja hiyo.
Akifafanua mbidde alisema
kesi hiyo inaomba mwongozo na ufafanuzi wa kisheria kuhusu kanuni ya 9 ya bunge la EAC inayoelekeza utaratibu
wa kumwondoa madarakani spika wa eala iwapo kutatokea haja ya kufanya hivyo.
Wakati mbunge
mbidde akiwa bado amesimama huku akiendelea kutoa hoja yake mbunge joseph ombasa kutoka
Kenya aliinuka na kumpinga mbunge
mwenzake aksiema nataka kulipotosha bunge kwani
kifungu 38 (3) kinaruhusu bunge hilo kujadili hoja yoyote yenye masilahi
ya umma wa EAC ikiwamo hilo l a kumgoa spika.
Baada ya hoja ya ombassa
mwanasheria wa EAC kaahwa alisimama kuto ufafanuzi wa kisheria licha ya kukiri kuwapo kesi
mahakamani alisema tayari mahakama hiyo
imetoa uamuzi mdogo kuw shauri hiyo imetoa
uamuzi mdogo kuwa shauri hiyo haliwezi kuzua shughuli na mjadala wowote
wenye nia ya kumwondoa spika madarakani.
Hoja hiyo ya
mwnasheria ilimwibua tena mbunge
mbidde aliyehoji kwanini maelezo ufafanuzi kwa mwanasheria huyo kutoa mwelekeo wa ulipo msimamo wake
kuhusu hoja iliyokuwa mbele ya bunge.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI LAVUNJIKA.”
Post a Comment