Saturday, June 14, 2014
DAVID LUIZ ASAINI MKATABA WA MIAKA MITANO PSG KWA DAU NONO LA PAUNDI MILIONI 50
Do you like this story?
DAVID Luiz
amekamilisha uhamisho wake kutoka klabu ya Chelsea na kujiunga na Paris St
Germain ambapo amesaini mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa Ufaransa.
Luiz -
aliyeanza katika kikosi cha kwanza cha Selecao kwenye mechi ya ufunguzi
wa kombe la dunia na kushinda mabao 3-1 dhidi ya Croatia anaondoka Stamford
Bridge kwa dau nono la paundi milioni 50million.
Miamba hiyo ya Ufaransa imetangaza katika mtandao wa klabu ikisema: 'Paris Saint-Germain tuna furaha kutangaza kuwa uhamisho wa mcheza wa kimatifa wa Brazil, David Luiz kutoka Chelsea FC,umekamilika kwa kusaini mkataba wa miaka mitano',
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “DAVID LUIZ ASAINI MKATABA WA MIAKA MITANO PSG KWA DAU NONO LA PAUNDI MILIONI 50”
Post a Comment